• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Livestock na Fisheries
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Mipango Mija na Maendeleo ya Ardhi
      • Afya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Maji
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ya Sasa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba Mbalimbali
    • Picha

Kamati ya kudhibiti Ukimwi

Kamati ya Kudumu ya Kudhibiti Ukimwi

Majukumu ya Kamati:

1.Kushirikisha wadau tofauti katika maeneo husika ili    kuongeza uchangiaji wa mawazo na/au nyenzo, usimamizi, uratibu na utekelezaji wa kazi za Tume za kudhibiti UKIMWI;

2.Kusimamia uundaji wa Kamati zote za kudhibiti

         UKIMWI;

3.Kupendekeza na kuchambua hali ya UKIMWI/Mipango na utekelezaji wake na kufikisha katika ngazi husuka kwa hatua zaidi;

4.Kutathmini hali ya UKIMWI katika eneo lake;

(i)Idadi ya waathirika: wagonjwa, yatima, wajane,

(ii)Kasi ya maambukizo.

(iii)Mazingira maalum yanayochangia maambukizo.

(iv)Uelewa wa wananchi juu ya janga hili.

(v)Serikali haitatoa fedha kwa Halmashauri isiyokuwa na mipango madhubuti ya kudhibiti UKIMWI.

(vi)Kuweka mikakati madhubuti ya kuhakikisha kila mtoto aliyefikia umri wa kwenda shule anafanya hivyo.

(vii)Kuweka mikakati ya makusudi juu ya njia bora za kuchangia baadhi ya huduma za Elimu na Afya.

(viii)Kubuni na kupendekeza njia bora za kuzuia na kudhibiti magonjwa ya milipuko.

(ix)Kupendekeza Sheria Ndogo za Kamati hii.


WAJUMBE WA KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
MHE. AMINI MZURI SAMBO
-
DIWANI KATA YA KIBADA (NAIBU MEYA)

MHE. ISAYA CHARLES MWITA
-
DIWANI KATA YA VIJIBWENI

MHE. DKT. FAUSTINE NDUGULILE
-
MBUNGE JIMBO LA KIGAMBONI

MHE. STELLAH CHARLES MASANJA

DIWANI VITI MAALUM

MHE. ERNEST NDAMO MAFIMBO
-
DIWANI KATA YA TUNGI

MHE. MAABAD HOJA (MST. MEYA)
-
DIWANI KATA YA PEMBEMNAZI

MHE. LUCY SIMON MAGERELI
-
MBUNGE VITI MAALUM

Matangazo

  • Namba za simu za Wakuu wa Idara Manispaa ya Kigamboni July 04, 2022
  • Tangazo la kuitwa kazini July 12, 2022
  • Tangazo la Makampuni yanayojihusisha na upimaji na uuzaji wa viwanja December 21, 2022
  • Tangazo la uuzaji wa viwanja Manispaa ya Kigamboni December 08, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKALLA ATOA VIPA UMBELE KWA WAKUU WA WILAYA WAPYA DAR ES SALAAM

    January 31, 2023
  • RC MAKALLA ATOA VIPA UMBELE KWA WAKUU WA WILAYA WAPYA DAR ES SALAAM

    January 31, 2023
  • WANAFUNZI WATARAJIWA KIDATO CHA KWANZA WATAKIWA KURIPOTI SHULENI KWA WAKATI

    January 30, 2023
  • MTOTO ANA HAKI YA KUPEWA ELIMU MUANDIKISHE

    January 29, 2023
  • Angalia Zote

Video

Tangazo la uuzaji wa viwanja
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa