• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Livestock na Fisheries
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Mipango Mija na Maendeleo ya Ardhi
      • Afya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Maji
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ya Sasa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba Mbalimbali
    • Picha

Mipango miji na Mazingira

Kamati ya Mipango Miji na Mazingira:

 Majukumu ya jumla

Kamati hii itashughulikia masuala ya uzalishaji mali ikiwemo kilimo, mifugo, viwanda, madini, Biashara n.k. Aidha itashughulikia pia miundombinu na suala zima la mendeleo ya Ardhi na hifadhi ya mazingira.

Majukumu maalum ya Kamati;

(i)Kupendekeza kwa Halmashauri mipango ya kupanua biashara na jinsi ya kukusanya mapato yatokanayo na upanuzi huo.

(ii)Kupendekeza mipango ya matumizi ya ardhi katika eneo la Halmashauri.

(iii)Kusimamia matumizi ya Sheria ya nguvu kazi.

(iv)Kuandaa mipango madhubuti ya maendeleo ya upanuzi wa kilimo katika Halmashauri

(v)Kusimamia na kuhakiki miradi ya ujenzi wa masoko, minada, majosho na vituo vya mifugo.

(vi)Kushughulikia uanzishaji na uendelezaji wa vyama vya ushirika kwa mujibu wa Sheria ya Vyama vya Ushirika.


WAJUMBE WA  KAMATI YA MIPANGOMIJI NA MAZINGIRA
1
MHE. SANYA MUHIDIN BUNAYA
-
DIWANI DIWANI KATA YA KIMBIJI (MWKT)
2
MHE. AMINA ALI YAKUB
-
DIWANI VITI MAALUM
3
MHE. ISSA HEMED ZAHORO
-
DIWANI KATA YA KISARAWE II
4
MHE. ISAYA MWITA CHARLES
-
DIWANI KATA YA VIJIBWENI
5
MHE. DOTTO DOTTO MSAWA
-
DIWANI KATA YA KIGAMBONI
6
MHE. MAABAD HOJA (MST. MEYA)

DIWANI KATA YA PEMBAMNAZI
7
MHE. ZUHURA MOHAMED DOLLAH

DIWANI VITI MAALUM

Matangazo

  • Namba za simu za Wakuu wa Idara Manispaa ya Kigamboni July 04, 2022
  • Tangazo la kuitwa kazini July 12, 2022
  • Tangazo la Makampuni yanayojihusisha na upimaji na uuzaji wa viwanja December 21, 2022
  • Tangazo la uuzaji wa viwanja Manispaa ya Kigamboni December 08, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKALLA ATOA VIPA UMBELE KWA WAKUU WA WILAYA WAPYA DAR ES SALAAM

    January 31, 2023
  • RC MAKALLA ATOA VIPA UMBELE KWA WAKUU WA WILAYA WAPYA DAR ES SALAAM

    January 31, 2023
  • WANAFUNZI WATARAJIWA KIDATO CHA KWANZA WATAKIWA KURIPOTI SHULENI KWA WAKATI

    January 30, 2023
  • MTOTO ANA HAKI YA KUPEWA ELIMU MUANDIKISHE

    January 29, 2023
  • Angalia Zote

Video

Tangazo la uuzaji wa viwanja
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa