• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Livestock na Fisheries
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Mipango Mija na Maendeleo ya Ardhi
      • Afya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Maji
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ya Sasa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba Mbalimbali
    • Picha

Wakazi wa Kigamboni watakiwa kushiriki katika usafi

Posted on: October 29th, 2022


Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Mheshimiwa Fatma Almas Nyangasa amewataka wananchi wa Manispaa ya Kigamboni kuwa na utaratibu wa kufanya usafi kila siku na si kusubiri hadi usafi wa pamoja wa mwisho wa mwezi.


Mheshimiwa Fatma Almas Nyangasa ametoa wito huo asubuhi ya leo tarehe 29/10/2022 katika zoezi la usafi lililofanyioka katika Mtaa wa Dege Kata ya Somangila ikiwa ni utekelezaji wa Kampeni ya Safisha pendezesha Dar es Salaam.


Aidha Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya amesema kuwa usafi ni swala endelevu na ni jukumu la kila mwananchi kuhakikisha maeneo yote ya Kigamboni yanakuwa safi muda wote.


Kwa upande mwingine Mstahiki Meya wa Mnispaa ya kigamboni Mheshimiwa Ernest Mafimbo amesema kuwa yeye na wakuu wa idara zote pamoja na wakuu wa Vitengo Manispaa ya Kigamboni wameamua kumuunga mkono Mkuu wa wilaya ya kigamboni katika kuhakikisha usafi unafanyika na kigamboni inakuwa safi.


Akiongea kwa niaba ya waanyabiashara wadogo Mwenyekiti wa Machinga Geza Center Bwana Omar Rajab ameupongeza utaratibu wa Mkuu wa Wilaya wa kufanya usafi kila Jumamosi ya mwisho wa Mwezi katika kila kata na ameushukuru uongozi wote wa Wilaya ya Kigamboni kwa kushiriki usafi katika maeneo ya wazi.


Wilaya ya kigamboni hufanya usafi kila Jumamosi ya mwisho wa mwezi ikiwa ni utekerlezaji wa agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mh Amos Makala la kuhakikisha kuwa kila Jumamosi ya mwisho wa mwezi unafanyika usafi wa pamoja.



Matangazo

  • Namba za simu za Wakuu wa Idara Manispaa ya Kigamboni July 04, 2022
  • Tangazo la kuitwa kazini July 12, 2022
  • Tangazo la Makampuni yanayojihusisha na upimaji na uuzaji wa viwanja December 21, 2022
  • Tangazo la uuzaji wa viwanja Manispaa ya Kigamboni December 08, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKALLA ATOA VIPA UMBELE KWA WAKUU WA WILAYA WAPYA DAR ES SALAAM

    January 31, 2023
  • RC MAKALLA ATOA VIPA UMBELE KWA WAKUU WA WILAYA WAPYA DAR ES SALAAM

    January 31, 2023
  • WANAFUNZI WATARAJIWA KIDATO CHA KWANZA WATAKIWA KURIPOTI SHULENI KWA WAKATI

    January 30, 2023
  • MTOTO ANA HAKI YA KUPEWA ELIMU MUANDIKISHE

    January 29, 2023
  • Angalia Zote

Video

Tangazo la uuzaji wa viwanja
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa