• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Livestock na Fisheries
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Mipango Mija na Maendeleo ya Ardhi
      • Afya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Maji
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ya Sasa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba Mbalimbali
    • Picha

Maji


Wakazi wa Wilaya ya Kigamboni wanapata huduma ya maji kutoka kwenye vyanzo vya visima virefu vya Serikali 83.  Kati ya hivyo visima 26 ni vya jamii, visima 57 ni vya taasisi za Serikali (31 shule ya msingi, 17 vituo vya afya na 9 shule za Sekondari).  Aidha vyanzo vya maji vingine ni visima vya watu binafsi.

Mahitaji halisi ya maji ni kiasi cha lita za ujazo 15. 6 millioni kwa siku (wastani wa lita 80 kwa mtu kwa siku).  Kiasi halisi cha uzalishaji wa visima vya serikali inakadiriwa kuwa ni lita za ujazo 8.97 millioni kwa siku.  Sawa na asilimia 51.1

Katika kukabiliana na upungufu wa maji na kuhakikisha kuwa wananchi wanapata maji safi na salama Serikali kupitia mamlaka ya maji safi na maji Taka (DAWASA), visima virefu 15 kati ya visima ishirini (20) vimechimbwa katika kata za Kimbiji na Kisarawe II.  Mara mradi huu utakapokamilika utakuwa na uwezo wa kuzalisha maji lita za ujazo 270 milioni.

Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni kupitia Programu ya maji imechimba visima virefu vitatu (3) katika kata za Vijibweni, Somangila na Pemba Mnazi.  Visima hivi vinauwezo wa kuzalisha maji lita za ujazo 264,000.



Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili Dereva daraja II na Katibu Mahsusi daraja III June 21, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili wa Mahojiano kwa Dereva daraja II na Katibu Mahsusi daraja III June 27, 2022
  • Tangazo la nafasi za kazi Manispaa ya Kigamboni May 24, 2022
  • Tangazo la nafasi za kazi kukusanya Taarifa za anwani za Makazi na Postikadi February 14, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Watendaji Kata, Mitaa na wakusanya data watakiwa kuwamakini kwenye zoezi la Uhakiki wa Anwani za makazi.

    June 30, 2022
  • RC Makalla aipongeza Kigamboni kwa Hati safi miaka 5mfululizo

    June 28, 2022
  • WATUMISHI MANISPAA YA KIGAMBONI WATAKIWA KUFUATA SHERIA NA KANUNI KATIKA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO

    June 22, 2022
  • Jukumu la Ulinzi wa watoto ni letu sote; DC Fatma

    June 16, 2022
  • Angalia Zote

Video

RC Makalla aipongeza Kigamboni kwa Hati safi miaka 5 mfululizo
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa